caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-A'raaf, Aya 159

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 39 · 7:159

وَمِن قَوْمِ مُوسَىٰٓ أُمَّةٌ يَهْدُونَ بِٱلْحَقِّ وَبِهِۦ يَعْدِلُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa katika kaumu ya Musa upo umma unaowaongoa watu kwa haki, na kwayo wanafanya uadilifu.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-Barwani.Na katika kaumu ya Musa lipo kundi linao waongoa watu kwa haki na kwa haki wanafanya uadilifu.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70