caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-A'raaf, Aya 139

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 39 · 7:139

إِنَّ هَٰٓؤُلَآءِ مُتَبَّرٌ مَّا هُمْ فِيهِ وَبَٰطِلٌ مَّا كَانُوا۟ يَعْمَلُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterHakika hawa, haya waliyomo yatakujaangamia, na ni batili hayo waliyokuwa wakiyafanya.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniHakika haya waliyo nayo watu hawa yatakuja angamia, na hayo waliyo kuwa wakiyafanya yamepotea bure.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70