caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-A'raaf, Aya 109

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 39 · 7:109

قَالَ ٱلْمَلَأُ مِن قَوْمِ فِرْعَوْنَ إِنَّ هَٰذَا لَسَٰحِرٌ عَلِيمٌ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterWakasema waheshimiwa kutoka katika kaumu ya Firauni, "Hakika huyu ni mchawi ajuaye vyema.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniWakasema waheshimiwa wa kaumu ya Firauni: Hakika huyo ni mchawi mjuzi.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70