caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Adh-Dhaariyat, Aya 16

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 67 · 51:16

ءَاخِذِينَ مَآ ءَاتَىٰهُمْ رَبُّهُمْ إِنَّهُمْ كَانُوا۟ قَبْلَ ذَٰلِكَ مُحْسِنِينَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterWanapokea yale aliyowapa Mola wao Mlezi. Kwa hakika hao walikuwa kabla ya haya wakifanya mema.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniWanapokea aliyo wapa Mola wao Mlezi. Kwa hakika hao walikuwa kabla ya haya wakifanya mema.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70