caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Hujuraat, Aya 4

Madina · mpangilio wa kuteremshwa 106 · 49:4

إِنَّ ٱلَّذِينَ يُنَادُونَكَ مِن وَرَآءِ ٱلْحُجُرَٰتِ أَكْثَرُهُمْ لَا يَعْقِلُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterHakika hao wanaokuita nawe uko nyuma ya vyumba, wengi wao hawatumii akili.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniHakika hao wanao kuita nawe uko nyuma ya vyumba, wengi wao hawana akili.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70