caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Muhammad, Aya 23

Madina · mpangilio wa kuteremshwa 95 · 47:23

أُو۟لَٰٓئِكَ ٱلَّذِينَ لَعَنَهُمُ ٱللَّهُ فَأَصَمَّهُمْ وَأَعْمَىٰٓ أَبْصَٰرَهُمْ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterHao ndio aliowalaani Mwenyezi Mungu, na akawatia uziwi, na akawapofua macho yao.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniHao ndio Mwenyezi Mungu alio walaani, na akawatia uziwi, na akawapofoa macho yao.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70