caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Az-Zukhruf, Aya 81

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 63 · 43:81

قُلْ إِن كَانَ لِلرَّحْمَٰنِ وَلَدٌ فَأَنَا۠ أَوَّلُ ٱلْعَٰبِدِينَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterSema: 'Ingelikuwa Rahmani (Mwingi wa Rehema) ana mwana, basi mimi ningelikuwa wa kwanza kumuabudu.'
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniSema: Ingeli kuwa Rahmani ana mwana, basi mimi ningeli kuwa wa kwanza kumuabudu.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70