caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Az-Zukhruf, Aya 66

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 63 · 43:66

هَلْ يَنظُرُونَ إِلَّا ٱلسَّاعَةَ أَن تَأْتِيَهُم بَغْتَةً وَهُمْ لَا يَشْعُرُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterJe, nini wanangojea ila Saa iwajie kwa ghafla na wala wao hawatambui?
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniJe! Nini wanangojea ila Saa iwajie kwa ghafla na wala wao hawatambui?
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70