caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura An-Nisaa, Aya 53

Madina · mpangilio wa kuteremshwa 92 · 4:53

أَمْ لَهُمْ نَصِيبٌ مِّنَ ٱلْمُلْكِ فَإِذًا لَّا يُؤْتُونَ ٱلنَّاسَ نَقِيرًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterAu wanalo fungu katika mamlaka? Basi hapo wasingewapa watu hata jicho la kokwa ya tende.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniAu wanayo sehemu ya utawala? Basi hapo wasingewapa watu hata tundu ya kokwa ya tende.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70