caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura An-Nisaa, Aya 22

Madina · mpangilio wa kuteremshwa 92 · 4:22

وَلَا تَنكِحُوا۟ مَا نَكَحَ ءَابَآؤُكُم مِّنَ ٱلنِّسَآءِ إِلَّا مَا قَدْ سَلَفَ إِنَّهُۥ كَانَ فَٰحِشَةً وَمَقْتًا وَسَآءَ سَبِيلًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterWala msiwaoe wale waliowaoa baba zenu, isipokuwa yale yaliyokwishapita. Hakika, huo ni uchafu, na uchukizo, na ni njia mbaya.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniWala msiwaoe wake walio waoa baba zenu, ila yaliyo kwisha pita. Hakika huo ni uchafu na uchukizo na ni njia mbaya.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70