caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Saad, Aya 20

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 38 · 38:20

وَشَدَدْنَا مُلْكَهُۥ وَءَاتَيْنَٰهُ ٱلْحِكْمَةَ وَفَصْلَ ٱلْخِطَابِ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa tukautia nguvu ufalme wake, na tukampa hekima, na kukata hukumu.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa tukautia nguvu ufalme wake, na tukampa hikima, na kukata hukumu.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70