caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura As-Saaffaat, Aya 22

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 56 · 37:22

ٱحْشُرُوا۟ ٱلَّذِينَ ظَلَمُوا۟ وَأَزْوَٰجَهُمْ وَمَا كَانُوا۟ يَعْبُدُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterWakusanyeni wale waliodhulumu, na wote walio mfano wao, na hao ambao wao walikuwa wakiwaabudu.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniWakusanyeni walio dhulumu, na wake zao, na hao walio kuwa wakiwaabudu.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70