caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Saba, Aya 4

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 58 · 34:4

لِّيَجْزِىَ ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ وَعَمِلُوا۟ ٱلصَّٰلِحَٰتِ أُو۟لَٰٓئِكَ لَهُم مَّغْفِرَةٌ وَرِزْقٌ كَرِيمٌ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterIli awalipe wale walioamini na wakatenda mema. Hao watapata msamaha na riziki ya ukarimu.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniIli awalipe walio amini na wakatenda mema. Hao watapata msamaha na riziki ya ukarimu.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70