caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Ahzaab, Aya 64

Madina · mpangilio wa kuteremshwa 90 · 33:64

إِنَّ ٱللَّهَ لَعَنَ ٱلْكَٰفِرِينَ وَأَعَدَّ لَهُمْ سَعِيرًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterHakika Mwenyezi Mungu amewalaani makafiri na amewaandalia Moto unaowaka kwa nguvu.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniHakika Mwenyezi Mungu amewalaani makafiri na amewaandalia Moto unao waka kwa nguvu.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70