caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Ahzaab, Aya 44

Madina · mpangilio wa kuteremshwa 90 · 33:44

تَحِيَّتُهُمْ يَوْمَ يَلْقَوْنَهُۥ سَلَٰمٌ وَأَعَدَّ لَهُمْ أَجْرًا كَرِيمًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterMaamkizi yao siku ya kukutana naye yatakuwa Salama! Na amewaandalia malipo ya ukarimu.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniMaamkiano yao siku ya kukutana naye yatakuwa: Salama! Na amewaandalia malipo ya ukarimu.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70