caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura An-Naml, Aya 76

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 48 · 27:76

إِنَّ هَٰذَا ٱلْقُرْءَانَ يَقُصُّ عَلَىٰ بَنِىٓ إِسْرَٰٓءِيلَ أَكْثَرَ ٱلَّذِى هُمْ فِيهِ يَخْتَلِفُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterHakika Qur-ani hii inawasimulia Wana wa Israili mengi ya yale wanayohitalifiana ndani yake.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniHakika Qur'ani hii inawasimulia Wana wa Israili mengi wanayo khitalifiana nayo.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70