caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Ash-Shu'araa, Aya 7

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 47 · 26:7

أَوَلَمْ يَرَوْا۟ إِلَى ٱلْأَرْضِ كَمْ أَنۢبَتْنَا فِيهَا مِن كُلِّ زَوْجٍ كَرِيمٍ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterJe, hawakuiona ardhi, ni mimea mingapi tumeiotesha humo, ya kila namna nzuri?
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniJe! Hawakuiona ardhi, mimea mingapi tumeiotesha humo, ya kila namna nzuri?
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70