وَلَا تَبْخَسُوا۟ ٱلنَّاسَ أَشْيَآءَهُمْ وَلَا تَعْثَوْا۟ فِى ٱلْأَرْضِ مُفْسِدِينَ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterWala msiwapunje watu vitu vyao, wala msifanye jeuri katika ardhi kwa kufanya uharibifu.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniWala msiwapunje watu vitu vyao, wala msifanye jeuri kwa ufisadi.