caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Furqaan, Aya 71

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 42 · 25:71

وَمَن تَابَ وَعَمِلَ صَٰلِحًا فَإِنَّهُۥ يَتُوبُ إِلَى ٱللَّهِ مَتَابًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa aliyetubu na akafanya mema, basi hakika huyo ametubu kweli kweli kwa Mwenyezi Mungu.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa aliye tubu na akafanya mema, basi hakika huyo ametubu kweli kweli kwa Mwenyezi Mungu.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70