caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Furqaan, Aya 64

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 42 · 25:64

وَٱلَّذِينَ يَبِيتُونَ لِرَبِّهِمْ سُجَّدًا وَقِيَٰمًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa wale wanaokesha kwa ajili ya Mola wao Mlezi kwa kusujudu na kusimama.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa wale wanao kesha kwa ajili ya Mola wao Mlezi kwa kusujudu na kusimama.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70