caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Muminoon, Aya 74

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 74 · 23:74

وَإِنَّ ٱلَّذِينَ لَا يُؤْمِنُونَ بِٱلْـَٔاخِرَةِ عَنِ ٱلصِّرَٰطِ لَنَٰكِبُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa hakika wale wasioiamini Akhera wanajitenga mbali na njia hiyo.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa hakika wale wasio iamini Akhera wanajitenga na Njia hiyo.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70