caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Muminoon, Aya 40

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 74 · 23:40

قَالَ عَمَّا قَلِيلٍ لَّيُصْبِحُنَّ نَٰدِمِينَ

Swahili Translation - Rowad Translation Center(Mwenyezi Mungu) akasema: Baada ya muda mchache watakuwa wenye kujuta.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-Barwani(Mwenyezi Mungu) akasema: Baada ya muda mchache watakuwa wenye kujuta.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70