caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Hajj, Aya 24

Madina · mpangilio wa kuteremshwa 103 · 22:24

وَهُدُوٓا۟ إِلَى ٱلطَّيِّبِ مِنَ ٱلْقَوْلِ وَهُدُوٓا۟ إِلَىٰ صِرَٰطِ ٱلْحَمِيدِ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa wataongozwa kwenye maneno mazuri, na wataongozwa kwenye njia ya Msifiwa.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa wataongozwa kwenye maneno mazuri, na wataongozwa kwenye Njia ya Msifiwa.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70