caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Anbiyaa, Aya 65

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 73 · 21:65

ثُمَّ نُكِسُوا۟ عَلَىٰ رُءُوسِهِمْ لَقَدْ عَلِمْتَ مَا هَٰٓؤُلَآءِ يَنطِقُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterKisha wakarejea kwenye ule ule upotovu wao wakasema: Hakika wewe unajua kwamba hawa hawasemi.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniKisha wakarejea kwenye ule ule upotovu wao wakasema: Wewe unajua kwamba hawa hawesemi.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70