caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Anbiyaa, Aya 6

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 73 · 21:6

مَآ ءَامَنَتْ قَبْلَهُم مِّن قَرْيَةٍ أَهْلَكْنَٰهَآ أَفَهُمْ يُؤْمِنُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterHawakuamini kabla yao watu wa mji wowote tuliouangamiza. Basi, je, hawa ndio wataamini?
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniHawakuamini kabla yao watu wa mji tulio uangamiza. Basi, je, wataamini hawa?
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70