caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Anbiyaa, Aya 52

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 73 · 21:52

إِذْ قَالَ لِأَبِيهِ وَقَوْمِهِۦ مَا هَٰذِهِ ٱلتَّمَاثِيلُ ٱلَّتِىٓ أَنتُمْ لَهَا عَٰكِفُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterAlipomwambia baba yake na watu wake: Ni nini haya masanamu mnayoshughulika kuyaabudu?
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniAlipo mwambia baba yake na watu wake: Ni nini haya masanamu mnayo yashughulikia kuyaabudu?
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70