caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Anbiyaa, Aya 110

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 73 · 21:110

إِنَّهُۥ يَعْلَمُ ٱلْجَهْرَ مِنَ ٱلْقَوْلِ وَيَعْلَمُ مَا تَكْتُمُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterHakika Yeye anajua kauli ya dhahiri na anajua myafichayo.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniHakika Yeye anajua kauli ya dhaahiri na anajua myafichayo.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70