فَتَنَٰزَعُوٓا۟ أَمْرَهُم بَيْنَهُمْ وَأَسَرُّوا۟ ٱلنَّجْوَىٰ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterBasi wakazozana wenyewe kwa wenyewe kuhusiana na jambo lao hilo, na wakanong'ona kwa siri.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniBasi wakazozana kwa shauri yao wenyewe kwa wenyewe, na wakanong'ona kwa siri.