caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Taa-Haa, Aya 122

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 45 · 20:122

ثُمَّ ٱجْتَبَٰهُ رَبُّهُۥ فَتَابَ عَلَيْهِ وَهَدَىٰ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterKisha Mola wake Mlezi akamteua, na akamkubalia toba yake, na akamwongoa.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniKisha Mola wake Mlezi akamteuwa, naye akamkubalia toba yake, naye akamwongoa.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70