caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Maryam, Aya 77

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 44 · 19:77

أَفَرَءَيْتَ ٱلَّذِى كَفَرَ بِـَٔايَٰتِنَا وَقَالَ لَأُوتَيَنَّ مَالًا وَوَلَدًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterJe, umemwona aliyezikufuru Ishara zetu na akasema: Kwa hakika mimi nitapewa mali na wana!
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniJe, umemwona aliye zikanya Ishara zetu na akasema: Kwa hakika mimi nitapewa mali na wana!
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70