caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Maryam, Aya 63

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 44 · 19:63

تِلْكَ ٱلْجَنَّةُ ٱلَّتِى نُورِثُ مِنْ عِبَادِنَا مَن كَانَ تَقِيًّا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterHiyo ndiyo Bustani tutakayowarithisha katika waja wetu wale waliokuwa wacha Mungu.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniHiyo ndiyo Pepo tutayo warithisha katika waja wetu walio kuwa wachamngu.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70