وَأَنذِرْهُمْ يَوْمَ ٱلْحَسْرَةِ إِذْ قُضِىَ ٱلْأَمْرُ وَهُمْ فِى غَفْلَةٍ وَهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa waonye siku ya majuto makubwa itapokatwa amri. Nao wako katika ghafla, wala hawaamini.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa waonye siku ya majuto itapo katwa amri. Nao wamo katika ghafla, wala hawaamini.