caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Kahf, Aya 101

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 69 · 18:101

ٱلَّذِينَ كَانَتْ أَعْيُنُهُمْ فِى غِطَآءٍ عَن ذِكْرِى وَكَانُوا۟ لَا يَسْتَطِيعُونَ سَمْعًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterWale ambao macho yao yalikuwa paziani hawanikumbuki, na wakawa hawawezi kusikia.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniWale ambao kwamba macho yao yalikuwa paziani hayanikumbuki, na wakawa hawawezi kusikia.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70