caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Hijr, Aya 54

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 54 · 15:54

قَالَ أَبَشَّرْتُمُونِى عَلَىٰٓ أَن مَّسَّنِىَ ٱلْكِبَرُ فَبِمَ تُبَشِّرُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterAkasema: Mnanibashiria nami uzee umenishika! Basi ni kwa njia gani mnanibashiria?
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniAkasema: Mnanibashiria nami uzee umenishika! Basi kwa njia gani mnanibashiria?
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70