caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Balad, Aya 17

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 35 · 90:17

ثُمَّ كَانَ مِنَ ٱلَّذِينَ ءَامَنُوا۟ وَتَوَاصَوْا۟ بِٱلصَّبْرِ وَتَوَاصَوْا۟ بِٱلْمَرْحَمَةِ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterTena awe miongoni mwa walioamini na wakausiana kusubiri na wakausiana kuhurumiana.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniTena awe miongoni mwa walio amini na wakausiana kusubiri na wakausiana kuhurumiana.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70