caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Anfaal, Aya 8

Madina · mpangilio wa kuteremshwa 88 · 8:8

لِيُحِقَّ ٱلْحَقَّ وَيُبْطِلَ ٱلْبَٰطِلَ وَلَوْ كَرِهَ ٱلْمُجْرِمُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterIli aihakikishe haki na aibatilishe batili hata kama watachukia wahalifu.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniIli ahakikishe Haki na auvunje upotovu na wangachukia wakosefu.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70