caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Anfaal, Aya 3

Madina · mpangilio wa kuteremshwa 88 · 8:3

ٱلَّذِينَ يُقِيمُونَ ٱلصَّلَوٰةَ وَمِمَّا رَزَقْنَٰهُمْ يُنفِقُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterWale wanaosimamisha Swala, na wanatoa katika vile tunavyowaruzuku.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniHao ambao wanashika Swala na wanatoa katika yale tunayo waruzuku.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70