caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-A'raaf, Aya 97

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 39 · 7:97

أَفَأَمِنَ أَهْلُ ٱلْقُرَىٰٓ أَن يَأْتِيَهُم بَأْسُنَا بَيَٰتًا وَهُمْ نَآئِمُونَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterJe, wakazi wa mijini wana amani ya kuwa iwajie adhabu yetu usiku hali ya kuwa wamelala?
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniJe, watu wa mijini wameaminisha ya kuwa adhabu yetu haitawafika usiku, nao wamelala?
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70