caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-A'raaf, Aya 16

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 39 · 7:16

قَالَ فَبِمَآ أَغْوَيْتَنِى لَأَقْعُدَنَّ لَهُمْ صِرَٰطَكَ ٱلْمُسْتَقِيمَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterAkasema: Kwa kuwa umenipotosha, basi hakika nitawakalia katika Njia yako iliyonyooka.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniAkasema: Kwa kuwa umenihukumia upotofu, basi nitawavizia katika Njia yako Iliyo Nyooka.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70