وَجَآءَ ٱلسَّحَرَةُ فِرْعَوْنَ قَالُوٓا۟ إِنَّ لَنَا لَأَجْرًا إِن كُنَّا نَحْنُ ٱلْغَٰلِبِينَ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa wachawi wakamjia Firauni, wakasema: Hakika tutapata ujira ikiwa tutakuwa sisi ndio washindi.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniWakaja wachawi kwa Firauni, wakasema: Hakika tutapata ujira ikiwa tutashinda.