caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Mulk, Aya 18

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 77 · 67:18

وَلَقَدْ كَذَّبَ ٱلَّذِينَ مِن قَبْلِهِمْ فَكَيْفَ كَانَ نَكِيرِ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa bila ya shaka walikwisha kanusha wale waliokuwa kabla yao; basi kulikuwaje kukasirika kwangu?
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa bila ya shaka walikwisha kanusha walio kuwa kabla yao; basi kulikuwaje kukasirika kwangu?
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70