caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura At-Talaaq, Aya 9

Madina · mpangilio wa kuteremshwa 99 · 65:9

فَذَاقَتْ وَبَالَ أَمْرِهَا وَكَانَ عَٰقِبَةُ أَمْرِهَا خُسْرًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterBasi ikauonja ubaya wa mambo yake; na mwisho wa mambo yao ilikuwa hasara.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniBasi ikauonja ubaya wa mambo yake; na mwisho wa mambo yao ilikuwa khasara.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70