caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-An'aam, Aya 15

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 55 · 6:15

قُلْ إِنِّىٓ أَخَافُ إِنْ عَصَيْتُ رَبِّى عَذَابَ يَوْمٍ عَظِيمٍ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterSema: Hakika Mimi ninahofu nikimuasi Mola wangu Mlezi, adhabu ya Siku kubwa.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniSema: Mimi naogopa adhabu ya Siku kubwa hiyo ikiwa nitamuasi Mola wangu Mlezi.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70