يُرِيدُونَ أَن يَخْرُجُوا۟ مِنَ ٱلنَّارِ وَمَا هُم بِخَٰرِجِينَ مِنْهَا وَلَهُمْ عَذَابٌ مُّقِيمٌ
Swahili Translation - Rowad Translation CenterWanataka kwamba watoke Motoni, lakini hawawezi kutoka humo, na wana adhabu inayodumu.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniWatataka watoke Motoni, lakini hawatatoka humo, na watakuwa na adhabu inayo dumu.