caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Ahqaf, Aya 6

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 66 · 46:6

وَإِذَا حُشِرَ ٱلنَّاسُ كَانُوا۟ لَهُمْ أَعْدَآءً وَكَانُوا۟ بِعِبَادَتِهِمْ كَٰفِرِينَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa ambao watu watakapokusanywa watakuwa maadui zao, na wataikataa ibada yao.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa ambao watu watakapo kusanywa watakuwa maadui zao, na wataikataa ibada yao.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70