caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Ad-Dukhaan, Aya 33

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 64 · 44:33

وَءَاتَيْنَٰهُم مِّنَ ٱلْـَٔايَٰتِ مَا فِيهِ بَلَٰٓؤٌا۟ مُّبِينٌ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa tukawapa katika ishara zenye majaribio yaliyo wazi.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa tukawapa katika ishara zenye majaribio yaliyo wazi.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70