caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Az-Zukhruf, Aya 40

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 63 · 43:40

أَفَأَنتَ تُسْمِعُ ٱلصُّمَّ أَوْ تَهْدِى ٱلْعُمْىَ وَمَن كَانَ فِى ضَلَٰلٍ مُّبِينٍ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterJe, unaweza kuwasikilizisha viziwi, au unaweza kuwaongoa vipofu na waliomo katika upotovu ulio wazi?
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniJe! Unaweza kuwasikilizisha viziwi, au unaweza kuwaongoa vipofu na waliomo katika upotofu ulio wazi?
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70