caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura Al-Ghaafir, Aya 36

Makka · mpangilio wa kuteremshwa 60 · 40:36

وَقَالَ فِرْعَوْنُ يَٰهَٰمَٰنُ ٱبْنِ لِى صَرْحًا لَّعَلِّىٓ أَبْلُغُ ٱلْأَسْبَٰبَ

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa Firauni akasema: Ewe Hamana! Nijengee mnara ili nipate kuzifikia njia.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa Firauni akasema: Ewe Hamana! Nijengee mnara ili nipate kuzifikia njia,
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70