وَإِذَا حَضَرَ ٱلْقِسْمَةَ أُو۟لُوا۟ ٱلْقُرْبَىٰ وَٱلْيَتَٰمَىٰ وَٱلْمَسَٰكِينُ فَٱرْزُقُوهُم مِّنْهُ وَقُولُوا۟ لَهُمْ قَوْلًا مَّعْرُوفًا
Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa wakihudhuria ugawi (wa mali ya urithi) jamaa wa karibu, na mayatima, na masikini, basi wapeni kwayo, na waambieni kauli njema.
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa wakati wa kugawanya wakihudhuria jamaa na mayatima na masikini, wapeni katika hayo mali ya urithi, na semeni nao maneno mema.