caseriqUtafutaji wa maana katika Qur'ani

Sura An-Nisaa, Aya 72

Madina · mpangilio wa kuteremshwa 92 · 4:72

وَإِنَّ مِنكُمْ لَمَن لَّيُبَطِّئَنَّ فَإِنْ أَصَٰبَتْكُم مُّصِيبَةٌ قَالَ قَدْ أَنْعَمَ ٱللَّهُ عَلَىَّ إِذْ لَمْ أَكُن مَّعَهُمْ شَهِيدًا

Swahili Translation - Rowad Translation CenterNa hakika yupo kati yenu anayejikokota sana. Na ukikupateni msiba, husema: 'Hakika Mwenyezi Mungu amenineemesha kwa vile sikuwa nimehudhuria pamoja nao.'
Swahili Translation - Ali Mohsin Al-BarwaniNa yupo kati yenu anaye bakia nyuma; na ukikusibuni msiba husema: Mwenyezi Mungu kanifanyia kheri sikuwa nao.
Unatafuta mada? Jaribu utafutaji wa maana — swali lako hutafutwa katika aya zote 6,236.
Lugha — 70